Swahili Times
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 18, 2025 at 08:37 AM
                               
                            
                        
                            "Tunamshukuru Mungu ametupa utajiri mkubwa wa vijana ndani ya Tanzania. Vijana hawa tusipowajengea uwezo, tusipowapa ujuzi uwezo wa serikali kuajiri wote haupo, ndiomaana  tumeamua tuwape ujuzi, wawe mafundi waweze kujiajiri na kuajiriwa na sekta binafsi." - Rais Samia Suluhu akiweka Jiwe la Msingi Shule ya Sekondari ya Amali Itilima
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            😮
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                    
                                        14