Swahili Times

Swahili Times

780.0K subscribers

Verified Channel
Swahili Times
Swahili Times
June 18, 2025 at 09:20 AM
Mwigizaji wa Marekani, Tyler Perry ameshitakiwa na mwigizaji Derek Dixon kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia kazini, ambapo amedai fidia ya Dola milioni 260 [TZS bilioni 674.25]. Dixon anadai mara kadhaa Perry alifanya jaribio la kumbaka, na alipotaka kufichua matukio hayo, Perry alimpa ahadi ya kuendelea kumpa nafasi kwenye kipindi cha televisheni.
Image from Swahili Times: Mwigizaji wa Marekani, Tyler Perry ameshitakiwa na mwigizaji Derek Dix...
😂 😢 😮 ❤️ 👍 17

Comments