Swahili Times
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 19, 2025 at 12:57 PM
                               
                            
                        
                            Daktari wa Yanga SC amesema mchezaji Prince Dube amepata majeraha ya nyama za paja wakati wa mchezo dhidi ya Tanzania Prisons, na sasa anaendelea na matibabu ya awali.
Daktari amesema Dube anaendelea vizuri na anaamini ataweza kuimarika kwa ajili ya michezo ijayo.
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                    
                                        17