Swahili Times

Swahili Times

780.0K subscribers

Verified Channel
Swahili Times
Swahili Times
June 19, 2025 at 03:40 PM
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 katika eneo la Kigongo, Misungwi mkoani Mwanza. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari hadi Mtukula, na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari 2020.
Image from Swahili Times: Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busi...
👍 ❤️ 🙏 😂 😢 22

Comments