START TEK
START TEK
June 17, 2025 at 09:42 PM
❗ 4. Kufungua Links zisizojulikana kwenye DM – Link hizi zinaweza kukudukua, kukuibia account au kukupachikia spyware kwenye simu. ❗ 5. Kufanya "Challenge" Bila Kuelewa Madhara – Challenges nyingine hutengenezwa kimaksudi kukusanya data au video ambazo zinaweza kutumika kukudhalilisha baadaye. ❗ 6. Kutopangilia Privacy Settings – Ukiwa na public profile, kila mtu anaweza kuona kila kitu, hata wale wasio na nia njema. ❗ 7. Kujiamini Kupita Kiasi na Kuamini Watu Usiofahamu – Siyo kila anayekutumia DM ni rafiki – wengine ni hackers, scammers au sexual predators. 🧠 USHAURI WA START TEK ✔️ Tumia akili, siyo hisia ✔️ Wezesha 2FA (Two-factor Authentication) ✔️ Angalia mara kwa mara privacy settings zako ✔️ Usiweke kila kitu mtandaoni – "Not everything belongs online!" 🚀 Baki salama kimitandao. Elimu ni kinga! 💡DigitalProtection 🔎StartTek
🔥 1

Comments