𝗢𝗧𝗛𝗨𝗠𝗔𝗡 𝗙𝗔𝗖𝗧
𝗢𝗧𝗛𝗨𝗠𝗔𝗡 𝗙𝗔𝗖𝗧
June 16, 2025 at 04:46 AM
Kama unataka kuwa mshangazi we endelea na ratiba Zako Lakini kama Bado unaihisi thamani ndani yako muache Huyu *Mvulana aendelee kukua.* Usimlee ili awe mwanaume. Subiri utafutwe na mtu ambae yupo tayari kuwa na wewe kukuheshimu na kukupa thamani yako. *Unataka upate matunzo Kwa MVULANA Unachekesha🤣🤣🤣* https://whatsapp.com/channel/0029VaLtsI46buMBVNc8Q40s
Image from 𝗢𝗧𝗛𝗨𝗠𝗔𝗡 𝗙𝗔𝗖𝗧: Kama unataka kuwa mshangazi we endelea na ratiba Zako Lakini kama Bado...

Comments