๐—ข๐—ง๐—›๐—จ๐— ๐—”๐—ก ๐—™๐—”๐—–๐—ง
๐—ข๐—ง๐—›๐—จ๐— ๐—”๐—ก ๐—™๐—”๐—–๐—ง
June 16, 2025 at 04:51 AM
hautakuwi kupata maumivu sex hutakiwi kufanya kama adhabu na kupata karaha ni sehemu ya kufurahia na kuacha matatizo yako hapo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Sijajua unaumiaje Sasa ungenielezea vyema lakin Kama unao ute wa kutosha (dryness) unapata maandalizi mazuri kabla ya tendo la ndoa maana foreplay haitoshi, lakin pia mikao yenu(style) uwenda ndo ikawa tatizo kwako. Pia maumbile ya Mwanaume kama ni kima chako hakuna Sababu ya kuumia wakati wa tendo. Kinyume chake, angalieni hayo niliyoyaeleza hapo, muandaane vya kutosha hakikisha Mwili wako unakuwa tayari kabla ya tendo. Lakini kama unajua namna Bora ya kusex na bwanaako bila kuumia mweleze vizuri usimfundishe mweleze Hisia Zako ๐Ÿค—, kama Bado utaendelea kukumbana na changamoto njoo in-box unipe maelezo Yako, nikusaidie kama ni dawa nikuunganishe na dr. wa kukusaidia. https://whatsapp.com/channel/0029VaLtsI46buMBVNc8Q40s
Image from ๐—ข๐—ง๐—›๐—จ๐— ๐—”๐—ก ๐—™๐—”๐—–๐—ง: hautakuwi kupata maumivu sex hutakiwi kufanya kama adhabu na kupata ka...

Comments