๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
June 13, 2025 at 04:15 PM
KWA WALIOKOSA MKOPO MWAKA JANA โœ๐Ÿฟ nianze na kukupa pole kisha hongera....Kama ulikosa mkopo na bado ukakomaa kusoma hivyohivyo bila mkopo unastahili heshima kubwa..ni maamuzi magumu mno hayo โœ๐Ÿฟ andaa NIDA yenye majina sawa na cheti chako cha form 4 โœ๐Ÿฟuwe na bank account yenye majina sawasawa na yalivyo kwenye cheti chako cha form four โœ๐Ÿฟcontinuous/mliokosa mkopo mwaka jana nyie mtakua watu wa kwanza kabisa kuomba mkopo kwani nyie taarifa zenu rasmi zote mnazi labda tuu kwa uzembe wako ndio usiwe nazo, tofauti na form 6, ambao wanalazimika kusubir matokeo yatoke โœ๐Ÿฟhakiki vyeti vyako vyote na upewe VERIFICATION CODE Karibu sana inbox kama unaswali By Mr Chakushangaza 0627 368 679

Comments