๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
June 13, 2025 at 04:15 PM
*ANDAA VITU HIVI ILI UWEZE KUOMBA MKOPO* ๐Ÿค— Hakiki vyeti vyote cha kifo na cha kuzaliwa ,watu wa bara uhakiki unafanyika online RITA, njoo inbox nipe kazi yako nitslaifanya, watu wa Zanzibar uhakiki unafanyika lwa wakala wa matukio ya kijamii hawa ofisi zao zipo wilayani au kwa wale waliopo karibu na mazizini mnaweza kwenda pale, ukifika waambie nataka kuhakiki cheti kwaajili ya kuomba mkopo, ukihakiki cheti hakikisha umepewa verification code na uitunze. โœ๐ŸฟTafuta kadi ya bank na hakikisha majina ya card hiyo ya bank yafanane na majina yaliyopo kwenye cheti cha form 4 โœŠ๐Ÿฟ NIDA ni lazima kwenye kuomba mkopo wa HESLB โœŠ๐Ÿฟ Kitambulisho cha mzanzibari ni lazima pia kwenye kuomba mkopo wa ZHELB ๐Ÿคœ๐Ÿฟ Kwasasa mkopo wanapewa wanafunzi kuanzia ngazi ya diploma na kuendelea hivyo vijana wangu mnaosoma diploma andaeni hivyo vitu muombe mkopo ๐ŸคWale wahitimu wa diploma hakikisha anayo AVN number, hii ni muhimu sana kwenye kuomba mkopo ๐ŸฅถWatu wa Bara kama unacheti cha kuzaliwa au cha kifo chazamani tafadhali fanya mchakato wa kupata cheti kipya. Njoo inbox kwa Mr Chakushangaza nikufa yie kazi yako hiyo chap chap Kwa faida ya wasifahamu HESLB-hii ni bodi ya mkopo ya tanzania nzima ,inatoa huduma ya mkopo kwa watu wa bara na visiwani ZHELB-hii ni bodi ya mkopo wa zanzibar, inahudumia watu wa unguja na pemba tuu na nilazima uwe na namba ya kitambulisho cha mzanzibari ndii uombe mkopo huo ๐Ÿฅถ DIRISHA LA MAOMBI YA MKOPO NA MWAKA HUU TUNATARAJI LITAFUNGULIWA MNAMO TAREHE 1 MWEZI WA 6 2025, HIVYO BADO KAMA SIKU 11 HIVI, JITAHIDI SANA KUANDAA VITU MUHIMU *KAMA KUNA WENZIO HAWAPO HUMU TAFADHALI WA ADD ILI WASIPITWE NA TAARIFA HIZI ADHIMU* _Karibuni sana inbox kwa maswali_ By Mr Chakushangaza 0627 368 679

Comments