
๐ ๐ฟ ๐๐ต๐ฎ๐ธ๐๐๐ต๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ฎ ๐๐น๐ถ๐บ๐ ๐ฆ๐ผ๐น๐๐๐ถ๐ผ๐ป๐
June 13, 2025 at 04:15 PM
*NAKUSIHI FANYA HAYA USIJE JUTIA*
๐ฅถ Hakiki cheti chako cha kuzaliwa saivi
โMimi nimzoefu na nakwambia hakuna mtu ataomba mkopo bila kuhakiki cheti cha kuzaliwa au cha kifo hii ni kwa wote bara na visiwani
๐ฅถ Kama una cheti chakuzaliwa cha zamani, kwanza anza na kukibadili kisha ndio ukihakiki
โ hakuna mtu anaweza kuhakiki cheti chake ikiwa ni cha zamani kwani tayari kimeshafutwa kwenye mfumo, pia usipo weza kuhakiki cheti maana yake hutaweza kuomba mkopo, nakusihi fanya haya ninayokuelekeza (kuhusu kubadili vyeti ni kwa watu wa bara tuu,Wazanzibar wenzangu msihofu hili halituhusu)
๐ฅถ Fatilia kadi ya bank
โhakikisha inasoma kwa majina yako kama yalivyo kwenye cheti chako cha form four (4)..... *Hairuhusiwi na haiwezekani wewe mnufaika wa mkopo kutumia kadi ya Bank ya baba,mama ,mchumba,Ex au mtu mwingine yeyote yule HUIKIBALIKI na haiwezekani*
๐ฅถ Tafuta NIDA
โhakikisha unafatilia NIDA laa sivyo we hutakua na sifa ya kuomba mkopo,Na hakikisha NIDA yako inamajina sawa kama yalivyo kwenye cheti chako cha form 4
โKama tayari unayo NIDA na inamajina tofauti na yako yalivyo kwemye cheti cha form 4, nenda ofisi za nida ufanyiwe marekebisho ya taarifa zako za NIDA
โ๐ฟ KAZI ZA UHAKIKI WA VYETI,KUBADILI VYETI NA KUOMBA MKOPO, MR CHAKUSHANGAZA ANAZIFANYA ZOTE KWA WAKATI NA MUDA SAHIHI, HAKUNA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KWENDA RITA ,we nitumie taarifa zako inbox naifanya kazi yako kwa uaminifu mkubwa na kwa muda sahihi , kazi hizi zote zinafanyika online hivyo ukiwa popote ukinitumia taarifa zako kwa usahihi naifanya kazi yako
KARIBUNI SANA
By
Mr Chakushangaza
0627 368 679