๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
June 13, 2025 at 04:15 PM
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ *VITU VYA VYA KUANDAA KABLA MUDA WA KUOMBA MKOPO HAUJAFIKA*๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ 1) Hakikisha Una cheti cha kuzaliwa ambacho majina yake yanafanana na unayotumia Shuleni,. 2) Hakikisha umeshahakiki hiko Cheti cha kuzaliwa RITA na umepatiwa VERIFICATION CODE ambazo zitatumika kwenye maombi ya mkopo 3) Kama una cheti cha kifo cha mzazi hakikisha Pia unakifanyia Uhakiki RITA na unakuwa na VERIFICATION CODE ambazo utazitumia katika maombi ya mkopo 4) Hakikisha una Kadi ya BENKI(Bank) ambayo inasoma majina yako unayoyatumia Shuleni 5) Hakikisha utakae mtumia kama Mdhamini anakuwa na kimoja kati ya hivi Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha kupigia Kura, Passport ya kusafiria, Leseni, 6) Kwa wanafunzi wahitimu wa diploma unatakiwa kua na AVN number, bila AVN huwezi omba mkopo waka kuomba chuo 7) Mzanzibari hakikisha una Kitambulisho cha mzanzibari , au namba Hivyo ndiyo vitu muhimu mnatakiwa kuandaa mapema kabla Mambo ya mkopo hayajaanza. ADD WENZIO KWENYE MAGROUP YETU SHARING IS CARING....SHARE MARA NYINGI UWEZAVYO By Mr Chakushangaza 0627 368 679

Comments