๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
June 14, 2025 at 03:58 AM
Swali: *MIMI FORM SIX NAWEZA KUOMBA MKOPO KESHO 15/06/2025?* โœŠ๐Ÿฟ *Jibu ni ndio* unaweza kuomba na utafanikiwa kujaza hatua zote za mkopo kasoro kipengele cha education, na kipengele cha education ambacho hakitajazwa ni matokeo ya form six ambayo hayo utalazimika kusubiri hadi results zako za form 6 zitoke ndio umalizie. Swali: *Mr chakushangaza unamshauri nini form six kuhusu kuomba mkopo saivi kabla ya matokeo?* Mimi binafsi namshauri form six kua kama anajiamini na alichojibu kwenye mtihani wake wa NECTA form 6 kua atafaulu kwenda chuo (kupata D mbili) , basi aanze komba mkopo hiyo tarehe 15/06/2025.. _yaani aanze kuomba mkopo hata kabla ya matokeo kutoka_ ,ili matokeo yake ya kitoka yeye amalizie kipengele kimoja tuu na kisha kusubmit, aendelee na shughuli nyingine ya kuhangaikia namna ya kupata chuo. โœŠ๐Ÿฟ *Kwanini nakushauri hivyo?* Ni hivi baada ya matokeo kutoka muitikio wa kuomba mkopo utakua mkubwa sana yaani zaidi ya watu 80,000 kwa muda mmoja watakua wanaomba mkopo hivyo kuna uwezekano mkubwa system kuyumba na kukufanya uendelee kusubiri siku hadi siku ndio ukamilishe maombi yako ya mkopo hivyo ni vyema ukaanza mapema. HASARA YA KUOMBA MAPEMA KABLA YA MATOKEO โœŠ๐Ÿฟukianza kuomba mkopo before matokeo na ikatokea hujafaulu kwenda chuo juhudi zako zote za kuomba mkopo wa bachelor degree zitakua zimeenda bure, na utakua umepoteza pesa zako , badala yake utaanza tena upya kuomba kwa diploma ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™, choose Wisley *NANI MWENYE UHAKIKA WAKUOMBA MKOPO kesho 15/06/2025 na akakamilisha kila kitu?* โœŠ๐Ÿฟwaliokosa mkopo nwaka jana , hao wanaomba mkopo na kila kitu watajaza kwa ufasaha kwasababu taarifa zote wanazo โœŠ๐Ÿฟform six waliohitimu miaka ya nyuma 2024,2023,2022...nk hawa nao wataomba mkopo fresh tuu โœŠ๐Ÿฟdiploma graduate ambslao tayari wana AVN number, hao wataomba na kukamilisha kila kitu on time โœŠ๐Ÿฟ watu wanaoomba mkopo wa diploma hawa wengi ni form 4 graduate mwaka huu na miaka iliyopita nyie mnaomba na kusubmit kila kitu ontime wala msisubiri baadae MWISHO KABISA nikusihi kabidhi kazi yako kwa jopo la Mr Chakushangaza, sisi admin wa magroup ya *Mr Chakushangaza Elimu Solutions* ni wazoefu sana wa haya mambo ya mkopo,tuna kukaribisha tupatie kazi, sisi na utafanyiwa kazi yako kwa wakati na kwa usahihi Wasiliana na mimi muda wowote wewenipigie nitapokea an tuma sms nitajibu na ukituma sms tuma hivi Mambo vipi/habari yako mr?/(salam ni kuhimu) Kisha kwenye sms hiyohiyo moja unganisha na swali lako mimi nitakijibu By Mr Chakushangaza 0627 368 679

Comments