TRT Afrika Swahili

TRT Afrika Swahili

11.8K subscribers

Verified Channel
TRT Afrika Swahili
TRT Afrika Swahili
June 18, 2025 at 03:04 PM
Polisi nchini Kenya imejiweka matatani tena baada ya mtu mmoja kupigwa risasi na afisa wa polisi katika maandamano nchini Kenya 17 Juni 2025. Zaidi ya watu 20 wameripotiwa kujeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika sehemu tofauti nchini wakipinga kifo cha mwanablogu Albert Ojwang akiwa chini ya ulinzi wa polisi. https://www.tiktok.com/@trtafrikasw/video/7517304204923342098
❤️ 👍 😂 3

Comments