JamiiForums

JamiiForums

712.6K subscribers

Verified Channel
JamiiForums
JamiiForums
June 16, 2025 at 01:26 PM
DAR: Akiongea Mahakamani leo Juni 16, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amesema kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa, anakaa upande wa Watu waliohukumiwa kifo katika Gereza la Ukonga Zaidi https://jamii.app/LissuKuhusuGerezani
😢 😂 👍 🙏 👏 🖕 😣 😮 😹 38

Comments