
JamiiForums
June 17, 2025 at 04:38 PM
SIMIYU: Rais Samia Suluhu amesema Vijana wanne wamepoteza maisha kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuelekea katika mkutano uliofanyika leo, Juni 17, 2025, ambapo kabla ya mkutano huo Rais alitembelea majeruhi wa ajali hiyo, waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya Meatu
Awali, Jeshi la Polisi Mkoa lilitoa taarifa kuwa Watu wanne wamepoteza maisha na wengine 15 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea Kijiji cha Mwamishari, Kata ya Mwamishari, Meatu ikihusisha gari aina ya Scania lililobeba Wananchi waliokuwa wanatoka kwenye Zoezi la Chanjo ya Mifugo na Utambuzi, jana Juni 16, 2025 Usiku
Soma https://jamii.app/AjaliSimiyuJuni16
😂
😢
🙏
👍
🖕
✅
❤️
😭
😮
🚮
41