
JamiiForums
June 19, 2025 at 01:15 PM
Mkuu wa Utawala na Fedha wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church(Ufufuo na Uzima), Askofu Baraka Thomas Tege, amedai tangu Kanisa hilo lilipofungwa Juni 2, 2025 na majengo yao kulindwa na Jeshi la Polisi, hakukuwa na makabidhiano yoyote ya Mali zikiwamo Fedha za Sadaka, Vyombo vya Muziki na Samani
Askofu Tege amedai Polisi wameweka Makufuli kwenye Milango ya Makanisa na kuwaondoa waliokuwa Walinzi
Soma https://jamii.app/GwajimaKanisaMali
😢
👍
🙏
❤️
😮
✌
❌
🔜
😂
😭
32