RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

367.5K subscribers

Verified Channel
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
June 15, 2025 at 06:27 PM
Iran italipia 'gharama kubwa' kwa vifo vya raia: Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin #netanyahu leo Jumapili amezuru eneo la makazi ya watu karibu na #telaviv lililoharibiwa na shambulio la kombora la #iran. Ziara yake imejiri wakati huu juhudi zikiendelea kuwatafuta watu waliofukiwa chini ya vifusi vya jengo la ghorofa lililoporomoka katika mji wa Bat Yam, kusini mwa Tel Aviv. 🎥Reuters
🙏 😢 😮 4

Comments