RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

367.5K subscribers

Verified Channel
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
June 16, 2025 at 02:31 AM
Wanajeshi wa Israel🇮🇱 wamewaua raia 59 wa Palestina🇵🇸, 17 kati yao wakiuuawa wakati wakijaribu kufikia vituo vya kutoa chakula cha msaada kutoka kwenye wakfu wa missada unaoongozwa na Marekani🇺🇸 na Israel. Mauaji haya yameripotiwa na wizara ya afya kwenye eneo husika.
Image from RFI Kiswahili: Wanajeshi wa Israel🇮🇱 wamewaua raia 59 wa Palestina🇵🇸, 17 kati yao...
🙏 👍 😢 5

Comments