RFI Kiswahili
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 16, 2025 at 02:31 AM
                               
                            
                        
                            Wanajeshi wa Israel🇮🇱 wamewaua raia 59 wa Palestina🇵🇸, 17 kati yao wakiuuawa wakati wakijaribu kufikia vituo vya kutoa chakula cha msaada kutoka kwenye wakfu wa missada unaoongozwa na Marekani🇺🇸 na Israel.
Mauaji haya yameripotiwa na wizara ya afya kwenye eneo husika.
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                    
                                        5