RFI Kiswahili
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 20, 2025 at 08:46 AM
                               
                            
                        
                            https://youtu.be/3QDjDHNwJyk                                                                                                                                                                                                                                            Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wasiopungua 14 kujeruhiwa baada ya ndege zisizo na Rubani za Urusi kushambulia jiji la Odesa, lililoko pwani ya Bahari Nyeusi nchini Ukraine, usiku wa kuamkia Ijumaa, kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo na waendesha mashtaka
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                    
                                        3