MEFTAHUL 'ULUUM 📚🔑📚
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 15, 2025 at 10:15 AM
                               
                            
                        
                            🔸️ *TAFAKARI NA HILI* 🔸️
       ____________________
Amesema Al imamu Ibnul Qayyim _rahimahu llaahu:_ 
_*"Vipi anakuwa ni mwenye akili yule mwenye kuiuza pepo kwa (kufanya) kile ambacho ndani yake kuna matamanio ya saa  (muda tu mfupi)??*"_
    ▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎¤▪︎¤¤▪︎¤▪︎¤▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎
📚 Al fawaaid - (1/60)