MEFTAHUL 'ULUUM 📚🔑📚
MEFTAHUL 'ULUUM 📚🔑📚
June 15, 2025 at 10:28 AM
👉 *JITIBIE NA HILI*👇 __________ Amesema 'Abdu llaahi bnu 'Awn _rahimahu llaahu:_ _*"KUWATAJA WATU NI UGONJWA NA KUMTAJA ALLAAH NI DAWA"*_ _________ 📚 Siyaru A'alaami al Nubalai - (6/369) ●NENO: Maana ya maneno hayo ni kuwa - sisi tumeshaugua na gonjwa hili la kuwasema watu hivyo tujitibie kwa kukithirisha kumtaja Allaah - wala hakuna tija ya kuwataja watu bali tija na utukufu na tiba ipo katika kumtaja Allaah kwa wingi. Baaraka llaahu fiikum
Image from MEFTAHUL 'ULUUM 📚🔑📚: 👉 *JITIBIE NA HILI*👇      __________ Amesema 'Abdu llaahi bnu 'Awn  ...

Comments