CAMPUS VIBES 🥵💦AND STORIES🌊
CAMPUS VIBES 🥵💦AND STORIES🌊
May 31, 2025 at 08:38 AM
🫶SECRETS🫶 (Extended version) THE RETURN OF RAS (Ten years after the release of Denno🦋) Manze after ile drama ya organization ya Ras ilibidi nihame nisake a different place ju Lizz alikua ananisaka ju alikua anadai revenge. 😂. Sasa job ilikua imechora ju hata hio ya manager nilipata like bahati sasa ilikua kusaka plan B. Hazel alikua mbigy na Stesh alisema hatuwezi ongeza mtoi mwingine unless tukue stable. Kwa familia ya Simon ni Lizz tu alikua amebaki na hio mali yote manze😂. Tresh aliishia kwao akisaka job ingine. Sijai contact loise ju ile line nilikua natumia nilivunja wakati ya hio drama. Nilikua nimesettle na Stesh alikua amepata job kwa kampuni flani hapo tu tao. Nikiwa free nilikua napita huko kwa loise kucheki my son. Tulikua tunakaa town mbali kiasi na ile ya kwanza. Mkurugenzi niliamua kuventure into business lakini kisubmarine ni kama it wasn't my calling. Losses zilikua zinatoka kila kona biz inaanguka najaribu ingine lakini wapi😂💔. Rumors had it that Denno was in town. Nilikua nakaa ritho ju maybe amekujia revenge ya Damian. Stesh alikua amepata job kwa kampuni flani hapo. House help ilibidi awekwe ndo akue anapeleka Hazel chuo and stuff. Me : Laura let me roll kidogo hapa tao Stesh akikuja tell him I'll be back Laura : Poa boss Sahi hakuna dinga nilikua natumia cab ju Stesh aliishia na yake job. Nilikua nakaa vibesic design ingine mbaya sana. Stesh ndo alikua analipa bills zote na hio stuff haikua inanibamba😂💔. Nilikua nafika pale tao niishie huko nione kama naweza meet loise nione mtoi wangu ju nilikua nimechoka kushinda nimechungulia kama mchawi 😂💔. Nilikosa cab so ikabidi niingie mat. Kiundercover tulikua tumefinyana vibaya sana na kuna mse alikua ananuka viatu😂💔. Ilikua majioni ndo nipate Loise akiwa mtaa. Nikadunda area. Nilikua natembea nikiwa very keen Denno asikue mahali anione. Nikafika kwa hizo estates. Watoi walikua wanacheza nje. Tao ilikua inakaa weird toka nihame. Sikukua na number ya Loise so nikashindwa naweza mpata aje. Rowlings pia alikua anacheza hapo nje. Manze mtoi alikua ananifanana vibaya sana😂💔. Nikaingia kwa neighbor hapo kulikua na mathe flani Me : Hello "Watakaje" Me : I need your help TO BE CONTINUED🔥 Mnipige support apo JOSEEPS DATA HUB

Comments