NURU YA UPENDO
NURU YA UPENDO
June 17, 2025 at 03:34 PM
*MAOMBI YA USIKU.* JUMANNE[17.06.2025]. JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO LIBARIKIWE SANA. KARIBU KATIKA MAOMBI YA USIKU VIPENGELE VITATUMWA KILA SIKU USIKU UNAOMBA WAKATI WA KULALA UKISHAMALIZA KULA CHAKULA CHAKO SIO MAOMBI YA MFUNGO. *NENO KUU* : KUMJUA MUNGU. Ayubu 22:21 "Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia." ✓ VIPENGELE VYA MAOMBI YA LEO JUMANNE.TUNAOMBA MAOMBI YA KUOMBEA VIJANA. >Mshukuru Mungu Zab 118:1,21. >Omba Toba na Rehema. >Omba Utakaso Wa Nafsi. Roho na Mwili. 1.Omba Mungu Awape Neema Ya Wokovu Vijana Wapate kumjua Mungu Kwa viwango Vya Juu. 2.Omba Mungu alete utii Kwa vijana.1 Petro 5:5. 3.Omba mungu alete Hekima, .Maarifa na Ufahamu Kwa vijana .Daniel 1:4. 4.Omba Mungu Awatie Nguvu Vijana za Kusoma Neno lake Na Kuomba.1 Yohana 2:13-14. 5.Omba Mungu Awaepushe Na Majaribu Yanayotokana na Miili Pamoja na Tamaa Za Mwili Ikiwemo Uzinzi, Zinaa, Uasherati Na Ulevi.1 Kor :6:16 ●Vunja Roho za wachawi Zinakwamisha Vijana Wasisonge Mbele kwa jina La Yesu. ● Ondoa Vizuizi Vya Maendeleo vinavyosimama kwa vijana kwa Jina la Yesu. ●Hamisha Madhahabu za Ukoo zinazoshikilia hatima , Bomoa Ukuta Wa kichawi, laana ,wivu na Kila maneno Yaliyotamkwa kwa vijana Yaondoe kwa Jina la Yesu. *N.B* : Vipengele vya Maombi vitatumwa Kesho. ✍🏽 *NA IKIWA UNAHITAJI LAKO LA KUSHIRIKISHANA, MAOMBEZI, KUOKOKA, UKIONA AMANI TUMA. *_[Wagalatia 6:2]_* *Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.* *_[Wakolosai 3:15 ]_* **Na amani ya KristoVipengele vya Maombi vitatumwa Kesho. iamue ndani yenu,ndiyo mliyo itiwa katika mwili mmoja* . 0793006146 . ✓Mungu akubariki.
🙏 👍 📘 😂 26

Comments