NURU YA UPENDO
NURU YA UPENDO
June 18, 2025 at 03:56 PM
*MAOMBI YA USIKU.* JUMATANO[18.06.2025]. JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO LIBARIKIWE SANA. ✓ *VIPENGELE VYA MAOMBI YA LEO JUMATANO.TUNAOMBA* MAOMBI YA KUOMBEA WANAWAKE👇👇. >MSHUKURU MUNGU. >OMBA TOBA NA REHEMA. >OMBA UTAKASO . □Omba Roho ya kuwajibika kwa wanawake, Bwana aiamshe kwako na katika kanisa (kupenda kushughulika Mithali 31:10. □Omba Bwana awajalie wanawake wote Wajawazito kujifungua salama.(Kutoka 1:15-17, Isaya 66:9). □Omba Neema Ya Wokovu Kwa wanawake ili Wapate kumjua Mungu wa kweli. 》Vunja na kuharibu 👇 ■Roho ya uchungu usiokoma moyoni, vinyongo, visasa, kutokuachilia, kutokusamehe, iyeyuke ndani ya Kanisa. ●Roho ya udhuru isisimame ndani ya kundi la wanawake kanisani. – (Matendo 1:14) ●Roho za Wachawi, Madhahabu za ukoo, Magonjwa sugu juu ya Wanawake kemea kwa Jina la Yesu na Magonjwa ya Kurithi yasipate nafasi Tena. N.B : Vipengele vya Maombi vitatumwa Kesho. ✍🏽 *NA IKIWA UNAHITAJI LAKO LA KUSHIRIKISHANA, MAOMBEZI, KUOKOKA, UKIONA AMANI TUMA. *_[Wagalatia 6:2]_* *Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.* *_[Wakolosai 3:15 ]_* **Na amani ya Kristo iamue ndani yenu,ndiyo mliyo itiwa katika mwili mmoja* . 0793006146 .
🙏 👍 👏 😣 🦁 18

Comments