JamiiCheck
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 22, 2025 at 04:38 AM
                               
                            
                        
                            Ipo Taarifa inayosambazwa Facebook ikidaiwa kuchapishwa na Millard Ayo ikisema 'Sugu kujiunga rasmi CHAUMMA'
Ufuatiliaji wa JamiiCheck kwa kutumia maneno muhimu umebaini kuwa Taarifa hiyo haikuchapishwa na Millard Ayo kwenye kurasa zake rasmi za Mitandao ya Kijamii.
Kumbuka wapotoshaji huweza kutengeneza chapisho wakitumia utambulisho wa chanzo fulani ili Kupotosha. Hakikisha Unathibitisha kabla ya kusambaza.
Soma https://jamii.app/SuguKuhamiaChaumma
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                    
                                        2