JamiiCheck
June 11, 2025 at 01:38 PM
Kupitia utafutaji wa maneno muhimu, JamiiCheck imejiridhisha kuwa Taarifa inayosambazwa mtandaoni kuwa THRDC imetoa tamko linalowataka viongozi wa dini kutokuingilia siasa, Si ya Kweli.
Ufuatiliaji zaidi umebaini THRDC haikutoa tamko hilo, huku machapisho ya Watetezi TV na ITV yakidhihirika kuwa ni ya kughushi kwani hayakuchapishwa na vyombo hivyo.
Vilevile zimebainika dosari kadhaa zinazothibitisha kuwa Taarifa ni ya kutengenezwa na wapotoshaji, ikiwemo matumizi ya fonti isiyovyostahili.
Soma https://jamii.app/ThrdcViongoziDini