JamiiForums

JamiiForums

712.6K subscribers

Verified Channel
JamiiForums
JamiiForums
June 20, 2025 at 12:47 PM
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa taarifa ya wito wa kufanyika kwa Sala na mfungo wa kuombea Haki na Amani nchini Agosti 23, 2025 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Taarifa iliyotolewa na Baraza hilo leo Juni 20, 2025, imesema kuwa kila Jimbo, Parokia, Jumuiya za Kitawa na Taasisi wataweka utaratibu utakaowawezesha kusali na kutubu kwa masaa 12 au 24 kulingana na uwezo wa Mazingira Soma https://jamii.app/SalaKatolikiTZ
Image from JamiiForums: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa taarifa ya wito wa ...
🙏 ❤️ 👍 😂 😢 👏 👮‍♂️ 😭 36

Comments