
JamiiForums
June 20, 2025 at 02:35 PM
Watafiti wa Masuala ya Usalama wamethibitisha kuwa hili ni tukio kubwa zaidi la uvujaji wa taarifa kuwahi kutokea baada ya nywila bilioni 16 pamoja na taarifa za Watumiaji wa Mitandao mbalimbali kuvuja kuanzia Januari 2025
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach

👍
😘
😮
🙏
5