
JamiiForums
June 20, 2025 at 05:38 PM
Mshiriki wa Shindano la Stories of Change Mwaka 2024, alishauri Serikali ibadilishe Mfumo wa Mitihani Vyuo Vikuu kutoka wa Maandishi na kuwa wa Vitendo kuendana na Mabadiliko yanayotokea sasa Duniani
Anasema hii inaweza kusaidia kupunguza changamoto ya Ajira, kwani Watu wengi wanapoajiriwa ndipo wanaanza kupewa Mafunzo ya Kazi fulani, ambayo angepewa akiwa anasoma.
Soma zaidi Andiko hili https://jamii.app/MitihaniVitendoChuo

👍
📌
❤️
🙏
🤝
🦾
17