โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
June 4, 2025 at 06:25 AM
Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza kuunganishwa na mtandao wowote uliopo karibu; bila kujali kampuni ya simu ambayo amesajili laini yake. ๐Ÿ“ถ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ผ Ukiwa unatumia laini (SIM Card) ya Yas na uko kijijini ambako kuna minara ya Vodacom tu, bado utaweza kupata huduma ya mtandao kama kawaida; kwa kutumia minara na mitambo ya Voda. ๐ŸŒ ๐—œ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ท๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ถ Laini hiyo hiyo itafanya kazi hata ukisafiri nje ya nchi; kwenda Kenya, Uganda, au popote Afrika, bila ulazima wa kununua laini mpya. Hatua hii ni sehemu ya azimio la mawaziri wa Afrika wanaoshughulikia TEHAMA, wakilenga kuunda single African mobile network ili kuimarisha uchumi wa kidijitali wa bara.๏ฟฝ ๐—›๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜†๐—ฒ, ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ. Chanzo: The Citizen _____________ #tanzania #teknolojia #antelplus tech
Image from โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘: Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mf...
๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ 2

Comments