โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘ WhatsApp Channel

โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘

58 subscribers

About โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘

ฦšฯ…ฯฯƒ ๐•‚ษฏฮฑ ฮฑสฮนษพฮน แƒงฮฑ ฦ™ฯ…ฦ™ฯ…สฯ…ศฅฮฑ โ„•ฮฑ ฦ™ฯ…ฦ™ฯ…ฯฮฑ ฯฯ…ษพส‚ฮฑ ศฅฮฑ ษฑฦšฮฑษณิƒฮฑฯƒษณฮน ษณฮฑ ฦšาฝฦˆิ‹ษณฯƒส…ฯƒษ แƒง ฦ™ษฏฮฑ ฯ…สฯ…ษฑส…ฮฑ ฯฮนฮฑ ๐•Œษณฮฑษฏาฝศฅฮฑ ฦ™ฯ…ฦšฯ…ฯฮฑฦšฮฑ ฦ™ษฏาฝษณแƒงาฝ ษฑฮนฦšฮฑษณิƒฮฑฯƒ แƒงฮฑ ฦ™ฮนสฮฑษฑฮนฮน ฦ™ษฏฮฑ สฮนษณฮฑ ส…ฮฑ ๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143 ๐Ÿ’ฅ. ๐•Ž๐”ผ ๐•Ž๐”ธโ„•๐•‹ ๐•‹๐•† ๐”น๐”ผ ๐•‹โ„๐”ธโ„• ๐”ธ โ„™โ„๐•†๐”ฝ๐”ผ๐•Š๐•Š๐•€๐•†โ„•๐”ธ๐•ƒ ๐Ÿ’ฅ

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/22/2025, 5:01:33 PM

Inasemekana kuwa `CAMON40series` ni nyembamba kama โ˜๏ธ๐Ÿชฝ Ukizungumzia simu ๐Ÿ“ฑ nyembamba kwa sasa basi ni `CAMON40series` Sifa kuu 3 za `CAMON40series` 1๏ธโƒฃ *Flash Snap ๐Ÿ“ธ* 2๏ธโƒฃ *IP68/69 - waterproof ๐Ÿ’ฆ (Pro & Premiere)* 3๏ธโƒฃ *TECNO AI ๐Ÿค–* ```Au kuna nyingine unayo ijua kuwa ni nyembamba kukiko``` > *ยฉ๏ธSHAKTech143*

Post image
๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ 3
Image
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/29/2025, 1:17:59 PM

Share Link ya channel https://whatsapp.com/channel/0029Va7rWzPBlHpZeTjVzB0d

โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
6/1/2025, 5:54:05 PM

Google Play Store imezindua kipengele kipya kinachotumia akili bandia (AI), kinachomruhusu mtumiaji kuuliza maswali mbalimbali kuhusu programu yoyote iliyopo kwenye duka hilo. Kipengele hiki kinatumia teknolojia ya Gemini AI ili kutoa majibu ya haraka na sahihi kuhusu matumizi ya programu, vipengele vyake, na taarifa muhimu nyingine. Kwa mfano, unaweza kuuliza app hiyo inafanya kazi gani, inafaa kwa matumizi gani, nani aliitengeneza, inaendana na mifumo gani, pamoja na taarifa nyingine zote unazotaka kufahamu kuhusu programu yoyote kwenye Google Play Store. ____________ #Teknolojia #Android #Antelplus ltd

Post image
๐Ÿ‘ 1
Image
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/22/2025, 10:07:08 AM

Android 16 imeanza kuonekana namna ambavyo mwaka huu mfumo wa Android utakavyokuwa. Mwonekano wake mpya itakuwa na mwonekano wa kisasa katika sehemu ya Quick Settings (sehemu ya juu ya kuona sauti, WiFi, Bluetooth n.k. Sehemu ya Quick Settings itaelekea kufanana na mfumo wa iPhone. Itakuwa na kioo na sio rangi nyeusi kama ilivyozoeleka. Na mtumiaji atakuwa na uwezo wa kuchagua ukubwa wa size ya buttons. Sehemu hii itakuwa inabadilika rangi kuendana na Wallpaper. > Antelplus technologies ______ #Teknolojia #Android16

Post image
โค๏ธ ๐Ÿ‘ 2
Image
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/24/2025, 9:14:12 AM

JE, UNGEPENDA KUMPIGIA MTU SIMU ASIJUE WEWE NDIYE? BASIโ€ฆ (Kwenye filamu labda, lakini si Tanzaniaโ€ฆ) Unawahi kufikiria jinsi inavyokuwa kwenye movie zile kali? Mtu anapiga simu, lakini upande wa pili unaona tu: "Private Number" au "Unknown Caller" โ€” unajikuta unashangaa ni nani huyo, unapokea kwa hofu, au unakataa kabisa. Basi, pengine nawe umewahi kutamani kujaribu hiyo trick โ€” kuficha namba yako kwa makusudi ili: Upige bila kujulikana Ufanye surprise call PIGA CODE *31# Lakini dah, kwa bahati mbayaโ€ฆ Kwa sisi waTanzania, hiyo mbwembwe ya kuficha Caller ID haipo ๐Ÿคฃ Ukiitumia, badala ya kupiga kimafia, simu yako haitapiga kabisa mpaka urudishe Caller ID! Kwa Nini Hivi Inashindikana Coz nchi yenu inasema nyie ni matapeli wa mtandaoni ๐Ÿคฃ Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeweka masharti maalum yanayowataka mitandao yote (Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel n.k.) kuhakikisha kuwa kila simu inayoingia na kutoka inaonyesha namba ya mpigaji. Hii ni kwa sababu: Kuzuia uhalifu wa kimtandao na vitisho kupitia simu. Kuwezesha usalama wa kitaifa โ€“ serikali iweze kufuatilia mawasiliano yoyote yanayokiuka sheria. Kufuatilia makosa ya jinai kwa kutumia ushahidi wa mawasiliano. Kwa hivyo, ku-disable Caller ID (kutumia #31# au kuzima kwa settings) kunaifanya simu yako ishindwe kabisa kupiga mpaka uwashe tena. Kwa Wanaojaribu Ku-bypassโ€ฆ Hata ukibadilisha line, simu, au OS โ€” kama uko Tanzania na unatumia line ya Tanzania, system ya mtandao itakataa. Hii trick inafanya kazi kwa baadhi ya nchi tu, lakini sio kwenye ardhi ya bongo yetu! Kwa ufupi: Nikijipata tyuuuu nasepa nchini kwenu sitaki ujinga ๐Ÿคฃ mna banwa Kila idara ๐Ÿคฃ sasa mawasiliano mnafatilia wakati account za police zilihakiwa > #antelplus org

โค๏ธ 1
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/29/2025, 1:18:00 PM

Hizi ni *trick 3 kali za Excel* kwa kutumia *VBA (Visual Basic for Applications)* `ambazo nimeamua kuwapa nyie wana ICT kama una PC yako na endapo unataka VBA yoyote sema` 1. *Auto Highlight Row When Cell is Selected* - Inaangazia mstari mzima wa seli unayogusa. *VBA Code:* ```vba Private Sub Worksheet_SelectionChange(ByVal Target As Range) Cells.Interior.ColorIndex = 0 Target.EntireRow.Interior.Color = RGB(220, 230, 241) End Sub``` 2. *Auto Save Backup Every 5 Minutes* - Huokoa kazi yako kila baada ya dakika 5 kiotomatiki. *VBA Code:* ```vba Public RunWhen As Double Public Const cRunWhat = "SaveBackup" Sub StartTimer() RunWhen = Now + TimeValue("00:05:00") Application.OnTime RunWhen, cRunWhat End Sub Sub SaveBackup() ThisWorkbook.SaveCopyAs "C:\Backup\" & ThisWorkbook.Name StartTimer End Sub ``` 3. *Password Protect Sheet with One Click* - Kulinda sheet haraka na kwa urahisi. *VBA Code:* ```vba Sub ProtectSheet() ActiveSheet.Protect Password:="1234", UserInterfaceOnly:=True MsgBox "Sheet Protected!" End Sub``` > *ยฉ๏ธ SHAKTech143* ๐Ÿ—‚๏ธ

โค๏ธ ๐Ÿ‘ 3
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
6/8/2025, 4:58:54 PM

๐Ÿ“ธ CAMERA H4CKING โ€“ Je, Camera ya Mtu Inaweza Kuangaliwa Bila Kujua? Wengi wenu bado hamuwezi tengeneza phishing link zenu wenyewe, ndio maana Antelplus tech kawarahisishia kazi ๐Ÿ™ƒ โš™๏ธ JINSI YA KUACCESS CAMERA YA MTU Kwa madhumuni ya kujifunza na kujilinda dhidi ya hackers ๐Ÿ‘€, tumia bot ifuatayo: ๐Ÿ‘‰ Nenda Telegram ๐Ÿ‘‰ Paste hii link kwenye inbox yako: ๐Ÿ”— https://t.me/Camera_Hacker_tBot Ukibonyeza link hiyo, itakufungulia BOT ya phishing cam. Fuata maelekezo vizuri. Bot hiyo itakutengenezea link yako ya kipekee ya phishing. โžก๏ธMtu akifungua hiyo link TYUUUU, bot itakurushia picha ya camera yake. โš ๏ธ TAHADHARI MUHIMU Hii ni kwa ajili ya ELIMU TU na KUJILINDA dhidi ya mashambulizi ya kihacker. Kumbuka, kuhack ni kosa la jinai kisheria nchini Tanzania, unaweza kufungwa hata kwa kosa dogo. Tumia elimu kwa busara... > @ANTELPLUS org.

โค โค๏ธ ๐Ÿ‘€ 3
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
6/4/2025, 6:25:34 AM

Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza kuunganishwa na mtandao wowote uliopo karibu; bila kujali kampuni ya simu ambayo amesajili laini yake. ๐Ÿ“ถ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ผ Ukiwa unatumia laini (SIM Card) ya Yas na uko kijijini ambako kuna minara ya Vodacom tu, bado utaweza kupata huduma ya mtandao kama kawaida; kwa kutumia minara na mitambo ya Voda. ๐ŸŒ ๐—œ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ท๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ถ Laini hiyo hiyo itafanya kazi hata ukisafiri nje ya nchi; kwenda Kenya, Uganda, au popote Afrika, bila ulazima wa kununua laini mpya. Hatua hii ni sehemu ya azimio la mawaziri wa Afrika wanaoshughulikia TEHAMA, wakilenga kuunda single African mobile network ili kuimarisha uchumi wa kidijitali wa bara.๏ฟฝ ๐—›๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜†๐—ฒ, ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ. Chanzo: The Citizen _____________ #Tanzania #Teknolojia #Antelplus tech

Post image
๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ 2
Image
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
6/3/2025, 7:43:24 PM

JINSI YA KUJUA LOCATION YA MTU, SIMU ANAYOTUMIA , IP ADDRESS YAKE KWA KUTUMIA LINK TYUUUU 1. Tembelea website ya IPLogger: Fungua website iplogger.org. 2. Ingiza link unayotaka kuficha: Katika sehemu ya kuweka link, ingiza link unayotaka mtu afike nayo โ€” kwa mfano, link ya video yako ya TikTok, au link ya tovuti unayotaka. 3. IPLogger itaunda link mpya (tracking link): Link hii mpya itakuwa na rangi nyekundu na mtu anapobonyeza, taarifa zake zitaonekana kwenye statistics zako. 4. Tumia link ya access to statistics: Hii ni link unayotumia wewe kuona taarifa zote za watu waliobonyeza link yako. Faida na Tahadhari Faida: Kujifunza ni wapi watu wanatoka (location). Kujua muda gani watu wanatembelea. Tahadhari: Usitumie kuharibu au kuudhi watu. Usiandike link kama ni phishing au link za kuiba taarifa za watu. Hii ni kwa ajili ya madhumuni ya kuelimisha Hakikisha mtu anayepokea link anajua na anakubali kuangalia content hiyo. > @Antelplus tech

โค๏ธ 1
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
โ”โ”โ”™๐’๐‡๐€๐Š๐“๐ž๐œ๐ก143โ”•โ”โ”‘
5/28/2025, 12:59:30 PM

JE, UNAJUA UNAWEZA KUANGALIA MAHALI SIMU YAKO IKO HATA IKIWA IMEZIMWA? (Wengi hawajui hii... lakini wewe utakua Pro.) HOW? Kwa Android: 1. Nenda kwenye: Settings > Security > Find My Device โ€” hakikisha imewashwa. 2. Ingia kwenye https://www.google.com/android/find 3. Utaona simu yako iko wapi (hata ikiwa silent, na ikiwa imezimwa, utaona location ya mwisho kabla haijakata). Kwa iPhone: 1. Nenda: Settings > [Jina lako] > Find My > Find My iPhone 2. Washa โ€œSend Last Locationโ€ 3. Then visit https://www.icloud.com/find kwa android Ukiona simu yako haipo, unaweza: Kuifunga remotely na kuweka ujumbe (โ€œRudisha hii simu tafadhali... kuna zawadi.โ€) Kuisafisha data yote remotely (kama kuna info za kazi, picha, n.k.) > @Antelplus tech

โค๏ธ 1
Link copied to clipboard!