
โโโ๐๐๐๐๐๐๐๐ก143โโโ
58 subscribers
About โโโ๐๐๐๐๐๐๐๐ก143โโโ
ฦฯ ฯฯ ๐ษฏฮฑ ฮฑสฮนษพฮน แงฮฑ ฦฯ ฦฯ สฯ ศฅฮฑ โฮฑ ฦฯ ฦฯ ฯฮฑ ฯฯ ษพสฮฑ ศฅฮฑ ษฑฦฮฑษณิฮฑฯษณฮน ษณฮฑ ฦาฝฦิษณฯส ฯษ แง ฦษฏฮฑ ฯ สฯ ษฑส ฮฑ ฯฮนฮฑ ๐ษณฮฑษฏาฝศฅฮฑ ฦฯ ฦฯ ฯฮฑฦฮฑ ฦษฏาฝษณแงาฝ ษฑฮนฦฮฑษณิฮฑฯ แงฮฑ ฦฮนสฮฑษฑฮนฮน ฦษฏฮฑ สฮนษณฮฑ ส ฮฑ ๐๐๐๐๐๐๐๐ก143 ๐ฅ. ๐๐ผ ๐๐ธโ๐ ๐๐ ๐น๐ผ ๐โ๐ธโ ๐ธ โโ๐๐ฝ๐ผ๐๐๐๐โ๐ธ๐ ๐ฅ
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

Inasemekana kuwa `CAMON40series` ni nyembamba kama โ๏ธ๐ชฝ Ukizungumzia simu ๐ฑ nyembamba kwa sasa basi ni `CAMON40series` Sifa kuu 3 za `CAMON40series` 1๏ธโฃ *Flash Snap ๐ธ* 2๏ธโฃ *IP68/69 - waterproof ๐ฆ (Pro & Premiere)* 3๏ธโฃ *TECNO AI ๐ค* ```Au kuna nyingine unayo ijua kuwa ni nyembamba kukiko``` > *ยฉ๏ธSHAKTech143*


Share Link ya channel https://whatsapp.com/channel/0029Va7rWzPBlHpZeTjVzB0d

Google Play Store imezindua kipengele kipya kinachotumia akili bandia (AI), kinachomruhusu mtumiaji kuuliza maswali mbalimbali kuhusu programu yoyote iliyopo kwenye duka hilo. Kipengele hiki kinatumia teknolojia ya Gemini AI ili kutoa majibu ya haraka na sahihi kuhusu matumizi ya programu, vipengele vyake, na taarifa muhimu nyingine. Kwa mfano, unaweza kuuliza app hiyo inafanya kazi gani, inafaa kwa matumizi gani, nani aliitengeneza, inaendana na mifumo gani, pamoja na taarifa nyingine zote unazotaka kufahamu kuhusu programu yoyote kwenye Google Play Store. ____________ #Teknolojia #Android #Antelplus ltd


Android 16 imeanza kuonekana namna ambavyo mwaka huu mfumo wa Android utakavyokuwa. Mwonekano wake mpya itakuwa na mwonekano wa kisasa katika sehemu ya Quick Settings (sehemu ya juu ya kuona sauti, WiFi, Bluetooth n.k. Sehemu ya Quick Settings itaelekea kufanana na mfumo wa iPhone. Itakuwa na kioo na sio rangi nyeusi kama ilivyozoeleka. Na mtumiaji atakuwa na uwezo wa kuchagua ukubwa wa size ya buttons. Sehemu hii itakuwa inabadilika rangi kuendana na Wallpaper. > Antelplus technologies ______ #Teknolojia #Android16


JE, UNGEPENDA KUMPIGIA MTU SIMU ASIJUE WEWE NDIYE? BASIโฆ (Kwenye filamu labda, lakini si Tanzaniaโฆ) Unawahi kufikiria jinsi inavyokuwa kwenye movie zile kali? Mtu anapiga simu, lakini upande wa pili unaona tu: "Private Number" au "Unknown Caller" โ unajikuta unashangaa ni nani huyo, unapokea kwa hofu, au unakataa kabisa. Basi, pengine nawe umewahi kutamani kujaribu hiyo trick โ kuficha namba yako kwa makusudi ili: Upige bila kujulikana Ufanye surprise call PIGA CODE *31# Lakini dah, kwa bahati mbayaโฆ Kwa sisi waTanzania, hiyo mbwembwe ya kuficha Caller ID haipo ๐คฃ Ukiitumia, badala ya kupiga kimafia, simu yako haitapiga kabisa mpaka urudishe Caller ID! Kwa Nini Hivi Inashindikana Coz nchi yenu inasema nyie ni matapeli wa mtandaoni ๐คฃ Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeweka masharti maalum yanayowataka mitandao yote (Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel n.k.) kuhakikisha kuwa kila simu inayoingia na kutoka inaonyesha namba ya mpigaji. Hii ni kwa sababu: Kuzuia uhalifu wa kimtandao na vitisho kupitia simu. Kuwezesha usalama wa kitaifa โ serikali iweze kufuatilia mawasiliano yoyote yanayokiuka sheria. Kufuatilia makosa ya jinai kwa kutumia ushahidi wa mawasiliano. Kwa hivyo, ku-disable Caller ID (kutumia #31# au kuzima kwa settings) kunaifanya simu yako ishindwe kabisa kupiga mpaka uwashe tena. Kwa Wanaojaribu Ku-bypassโฆ Hata ukibadilisha line, simu, au OS โ kama uko Tanzania na unatumia line ya Tanzania, system ya mtandao itakataa. Hii trick inafanya kazi kwa baadhi ya nchi tu, lakini sio kwenye ardhi ya bongo yetu! Kwa ufupi: Nikijipata tyuuuu nasepa nchini kwenu sitaki ujinga ๐คฃ mna banwa Kila idara ๐คฃ sasa mawasiliano mnafatilia wakati account za police zilihakiwa > #antelplus org

Hizi ni *trick 3 kali za Excel* kwa kutumia *VBA (Visual Basic for Applications)* `ambazo nimeamua kuwapa nyie wana ICT kama una PC yako na endapo unataka VBA yoyote sema` 1. *Auto Highlight Row When Cell is Selected* - Inaangazia mstari mzima wa seli unayogusa. *VBA Code:* ```vba Private Sub Worksheet_SelectionChange(ByVal Target As Range) Cells.Interior.ColorIndex = 0 Target.EntireRow.Interior.Color = RGB(220, 230, 241) End Sub``` 2. *Auto Save Backup Every 5 Minutes* - Huokoa kazi yako kila baada ya dakika 5 kiotomatiki. *VBA Code:* ```vba Public RunWhen As Double Public Const cRunWhat = "SaveBackup" Sub StartTimer() RunWhen = Now + TimeValue("00:05:00") Application.OnTime RunWhen, cRunWhat End Sub Sub SaveBackup() ThisWorkbook.SaveCopyAs "C:\Backup\" & ThisWorkbook.Name StartTimer End Sub ``` 3. *Password Protect Sheet with One Click* - Kulinda sheet haraka na kwa urahisi. *VBA Code:* ```vba Sub ProtectSheet() ActiveSheet.Protect Password:="1234", UserInterfaceOnly:=True MsgBox "Sheet Protected!" End Sub``` > *ยฉ๏ธ SHAKTech143* ๐๏ธ

๐ธ CAMERA H4CKING โ Je, Camera ya Mtu Inaweza Kuangaliwa Bila Kujua? Wengi wenu bado hamuwezi tengeneza phishing link zenu wenyewe, ndio maana Antelplus tech kawarahisishia kazi ๐ โ๏ธ JINSI YA KUACCESS CAMERA YA MTU Kwa madhumuni ya kujifunza na kujilinda dhidi ya hackers ๐, tumia bot ifuatayo: ๐ Nenda Telegram ๐ Paste hii link kwenye inbox yako: ๐ https://t.me/Camera_Hacker_tBot Ukibonyeza link hiyo, itakufungulia BOT ya phishing cam. Fuata maelekezo vizuri. Bot hiyo itakutengenezea link yako ya kipekee ya phishing. โก๏ธMtu akifungua hiyo link TYUUUU, bot itakurushia picha ya camera yake. โ ๏ธ TAHADHARI MUHIMU Hii ni kwa ajili ya ELIMU TU na KUJILINDA dhidi ya mashambulizi ya kihacker. Kumbuka, kuhack ni kosa la jinai kisheria nchini Tanzania, unaweza kufungwa hata kwa kosa dogo. Tumia elimu kwa busara... > @ANTELPLUS org.

Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza kuunganishwa na mtandao wowote uliopo karibu; bila kujali kampuni ya simu ambayo amesajili laini yake. ๐ถ ๐๐๐ฎ ๐บ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ Ukiwa unatumia laini (SIM Card) ya Yas na uko kijijini ambako kuna minara ya Vodacom tu, bado utaweza kupata huduma ya mtandao kama kawaida; kwa kutumia minara na mitambo ya Voda. ๐ ๐๐๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐๐ถ ๐ป๐ท๐ฒ ๐๐ฎ ๐ป๐ฐ๐ต๐ถ Laini hiyo hiyo itafanya kazi hata ukisafiri nje ya nchi; kwenda Kenya, Uganda, au popote Afrika, bila ulazima wa kununua laini mpya. Hatua hii ni sehemu ya azimio la mawaziri wa Afrika wanaoshughulikia TEHAMA, wakilenga kuunda single African mobile network ili kuimarisha uchumi wa kidijitali wa bara.๏ฟฝ ๐๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ๐๐ฒ, ๐ง๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฒ๐น๐ฒ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฒ๐ป๐๐ถ ๐บ๐ฝ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ๐ฎ๐ป๐ผ ๐ฏ๐ถ๐น๐ฎ ๐บ๐ถ๐ฝ๐ฎ๐ธ๐ฎ. Chanzo: The Citizen _____________ #Tanzania #Teknolojia #Antelplus tech


JINSI YA KUJUA LOCATION YA MTU, SIMU ANAYOTUMIA , IP ADDRESS YAKE KWA KUTUMIA LINK TYUUUU 1. Tembelea website ya IPLogger: Fungua website iplogger.org. 2. Ingiza link unayotaka kuficha: Katika sehemu ya kuweka link, ingiza link unayotaka mtu afike nayo โ kwa mfano, link ya video yako ya TikTok, au link ya tovuti unayotaka. 3. IPLogger itaunda link mpya (tracking link): Link hii mpya itakuwa na rangi nyekundu na mtu anapobonyeza, taarifa zake zitaonekana kwenye statistics zako. 4. Tumia link ya access to statistics: Hii ni link unayotumia wewe kuona taarifa zote za watu waliobonyeza link yako. Faida na Tahadhari Faida: Kujifunza ni wapi watu wanatoka (location). Kujua muda gani watu wanatembelea. Tahadhari: Usitumie kuharibu au kuudhi watu. Usiandike link kama ni phishing au link za kuiba taarifa za watu. Hii ni kwa ajili ya madhumuni ya kuelimisha Hakikisha mtu anayepokea link anajua na anakubali kuangalia content hiyo. > @Antelplus tech

JE, UNAJUA UNAWEZA KUANGALIA MAHALI SIMU YAKO IKO HATA IKIWA IMEZIMWA? (Wengi hawajui hii... lakini wewe utakua Pro.) HOW? Kwa Android: 1. Nenda kwenye: Settings > Security > Find My Device โ hakikisha imewashwa. 2. Ingia kwenye https://www.google.com/android/find 3. Utaona simu yako iko wapi (hata ikiwa silent, na ikiwa imezimwa, utaona location ya mwisho kabla haijakata). Kwa iPhone: 1. Nenda: Settings > [Jina lako] > Find My > Find My iPhone 2. Washa โSend Last Locationโ 3. Then visit https://www.icloud.com/find kwa android Ukiona simu yako haipo, unaweza: Kuifunga remotely na kuweka ujumbe (โRudisha hii simu tafadhali... kuna zawadi.โ) Kuisafisha data yote remotely (kama kuna info za kazi, picha, n.k.) > @Antelplus tech