UwepoTv E.S.Ministry
UwepoTv E.S.Ministry
May 27, 2025 at 08:16 AM
*UNAMTEGEMEA NANI?* Maana huko ndio baraka zako zilipo au laana na mikosi. *Soma* Yeremia 17: 7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA, Ambaye BWANA ni tumaini lake. 8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda. Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko
Image from UwepoTv E.S.Ministry: *UNAMTEGEMEA NANI?* Maana huko ndio baraka zako zilipo au laana na mik...
❤️ 🙏 2

Comments