IAA Tanzania

IAA Tanzania

24.0K subscribers

Verified Channel
IAA Tanzania
IAA Tanzania
June 11, 2025 at 07:40 AM
DIPLOMA IN ECONOMICS AND FINANCE ➡️ Wanafunzi wanaochagua kozi hii wanatarajiwa kunufaika na uwezo wa kufikiri kwa upande wa kifedha, ujuzi wa kihisabati, na ufahamu wa taasisi unaohitajika kutatua matatizo yanayotokea katika fedha na uchumi. ➡️ Kozi hii itawapa wanafunzi maarifa ya kisayansi juu ya michakato ya kifedha kwa ajili ya maendeleo na haswa, kutumia maarifa hayo katika kutathmini taasisi za kiuchumi na kifedha. ➡️ Wanafunzi wataweza kuchambua masuala mbalimbali ya kiuchumi na kifedha na kuelewa misingi ya sera za kiuchumi. ➡️ Kozi hii inamuandaa kijana kujiajiri au kuajiriwa katika fani za uchumi, fedha, Benki na hata katika biashara. ➡️ Vilevile inamuandaa kijana Kusoma ngazi ya degree katika fani mbalimbali za Mambo ya uchumi, uhasibu, fedha na benki. ➡️ Kozi hii inapatikana katika Kampasi ya Arusha. ➡️ Sifa za kujiunga DIPLOMA YA MIAKA MIWILI NTA Level 4: GPA ya 3.0 kutoka chuo kinachotambulika Form Six: D moja na S DIPLOMA YA MIAKA MITATU Form Four: Angalau D nne ➡️ Kujiunga apply Online, Link Iko kwenye post au tuma ujumbe mfupi kwa text, WhatsApp, Kupitia namba 0742833444 Karibu sana IAA. #iaanextlevo
👍 ❤️ 7

Comments