Wizara ya Afya Tanzania

Wizara ya Afya Tanzania

230.4K subscribers

Verified Channel
Wizara ya Afya Tanzania
Wizara ya Afya Tanzania
June 17, 2025 at 12:59 PM
WAZIRI MHAGAMA ATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ametekeleza agizo la Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutembelea majeruhi wa ajali ya gari iliyotokea Meatu Mkoani Simiyu waliolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda BUGANDO Mkoani Mwanza ambao wanaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu ya awali. Waziri Mhagama ametekeleza maelekezo hayo leo Juni 17, 2025 kwa haraka ambapo amewajulia hali majeruhi hao pamoja na kutoa maelekezo kuwa wagonjwa hao (watano) watatibiwa kwa gharama za Serikali.
Image from Wizara ya Afya Tanzania: WAZIRI MHAGAMA ATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA   Waziri wa Afya Mhe. Jen...
🥹 😂 3

Comments