
Wizara ya Afya Tanzania
June 17, 2025 at 05:02 PM
Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wabobezi wa darasa la uuguzi kwenye ngazi ya watoto waliotokana na 'Samia Scholaship Fund', kushoto ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Bw. Daud Msasi na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Dkt. Bahati Wajanga.

👏
😂
🤝
4