Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 19, 2025 at 10:02 AM
Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania 🇹🇿, #diamondplatnumz, ameweka historia mpya kwa kuwa msanii wa kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kufikisha milioni 10+ subscribers kwenye YouTube! Kupitia muziki wake, Diamond ameendelea kuibeba Bongo Flava hadi kimataifa 🌍 👑 Top 10 Artists YouTube Subscribers – South of Sahara (2025): 1️⃣ @diamondplatnumz – 10.1M 2️⃣ @rayvanny – 5.74M 3️⃣ @burnaboygram – 5.35M 4️⃣ @harmonize_tz – 5.16M 5️⃣ @fallyipupa01 – 5.04M 6️⃣ @heisrema – 4.94M 7️⃣ @tyla – 4.86M 8️⃣ @davido – 4.55M 9️⃣ @ckay_yo – 4.21M 🔟 @officialzuchu – 3.97M 🔥 Wadau wa muziki, mnasemaje kuhusu mafanikio haya ya Chibu Dangote? #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania 🇹🇿, <a class="text-blue-500 ho...
👍 1

Comments