mangekimambi_
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 23, 2025 at 03:32 PM
                               
                            
                        
                            Mwenzi wa April Mkuu wa polisi alienda CRDB akadeposit 68M cash. Hizo pesa zilitoka wapi ? Alafu jiulize 68M nyumbani ina baki ngapi ? 
.
Some month CRDB wamempa Mkuu wa polis mkopo wa 1B   CRDB need to be inestigated , it seems kuna michezi inachezwa na Serikali pale CRDB y  utakatishaji pesa. Ana investigation is needed. Huo sio mkopo kam mkopo kutoka Benk , hiyo ni njia nyingine ya kumfikishiaji pesa Mkuu wa polisi. 
.
Na mkiangalia then akanunua bonds za 1.6 billion , aisee nimeliaa 😭😭😭
.
Imagine mkuu wa polis ana balance ya 1B bank , mnadhani ataacha kupiga wanachi ilii na yeye aendelee kutafuna nchi?? Unadhani ataacha kuteka na kuua wapinzani ili chama tawala kibaki madarakani.