
๐๐๐ ๐๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐๐๐ง๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐ฉ๐๐๐, ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐
June 10, 2025 at 05:19 AM
Dental caries hudhibitiwa kwa kuhakikisha usafi mzuri wa kinywa kila siku kwa kupiga mswaki angalau mara mbili kwa siku na kutumia dawa ya meno yenye fluoride.
Ni muhimu pia kupunguza ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi.
Kutembelea daktari wa meno mara kwa mara kwa ukaguzi na kusafisha meno kitaalamu husaidia kugundua matatizo mapema.
Matumizi ya vyakula vyenye madini ya kalsiamu na vitamini D pia kunasaidia kudumisha afya ya meno.
--------------------------------------
Dkt Fedrick, Telehealth Co
#afyayauzazi#femclinic_hc#tunajalinakuthaminiafyayako#upati#drfedrickntashobo#clinician#sexualhealth&reproductivehealthcoach#vochadaychallenge

๐
1