𝗙𝗘𝗠𝗖𝗟𝗜𝗡𝗜𝗖 𝗛𝗘𝗔𝗟𝗧𝗛𝗖𝗔𝗥𝗘 𝗦𝗘𝗥𝗩𝗜𝗖𝗘, 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔
𝗙𝗘𝗠𝗖𝗟𝗜𝗡𝗜𝗖 𝗛𝗘𝗔𝗟𝗧𝗛𝗖𝗔𝗥𝗘 𝗦𝗘𝗥𝗩𝗜𝗖𝗘, 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔
June 17, 2025 at 04:25 AM
Kunywa chai ya tangawizi asubuhi husaidia kusisimua mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kuongeza kasi ya uchomaji wa mafuta mwilini. Tangawizi ina uwezo wa kupunguza kichefuchefu, kuondoa gesi tumboni na kusaidia utulivu wa tumbo. Pia husaidia kuongeza mzunguko wa damu, kuimarisha kinga ya mwili na kupunguza maumivu ya viungo au misuli. Kunywa chai ya tangawizi asubuhi pia kunaweza kusaidia kupunguza msongo wa mawazo na kutoa hali ya utulivu wa akili na mwili kwa siku nzima. ---------------------------------------------------- Dkt Fedrick, Telehealth Clinician #afyayauzazi#femclinic_hc#tunajalinakuthaminiafyayako#upati#drfedrickntashobo#clinician#sexualhealth&reproductivehealthcoach#vochadaychallenge
Image from 𝗙𝗘𝗠𝗖𝗟𝗜𝗡𝗜𝗖 𝗛𝗘𝗔𝗟𝗧𝗛𝗖𝗔𝗥𝗘 𝗦𝗘𝗥𝗩𝗜𝗖𝗘, 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔: Kunywa chai ya tangawizi asubuhi husaidia kusisimua mfumo wa mmeng’eny...

Comments