๐๐๐ ๐๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐๐๐ง๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐ฉ๐๐๐, ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐
June 17, 2025 at 08:44 AM
Wengi wanafikira Hasi kwamba kwasababu Matunda ni asili basi Hata kama ukila Mengi hayawezi kukuhatarisha kupata Magonjwa ya Lishe .
Matunda ni Asili kweli, Matunda yana virutubisho Muhimu na nisehemu sahihi ya Lishe bora. Ila changamoto Inakuja pale unapolazimisha upate virutubisho vingi kutoka kwenye Matunda Kupitia Mfumo wa Juice
Matokeo yake Hufikii Malengo na unaulemaza Mwili na Ile Sukari iliyoingia wakati unakunywa Hiyo Juisi.
----------------------------------------------------
Dkt Fedrick, Telehealth Clinician
#afyayauzazi#femclinic_hc#tunajalinakuthaminiafyayako#upati#drfedrickntashobo#clinician#sexualhealth&reproductivehealthcoach#vochadaychallenge