
๐๐๐ ๐๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐๐๐ง๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐ฉ๐๐๐, ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐
June 17, 2025 at 08:45 AM
Ni Kweli Mwili wa Binadamu Unahitaji vitamins na Madini Ambavyo Hupatikana katika Matunda . Lakini Tambua kwamba Matunda
Ni Bidhaa ya Msimu usifanye kuwa Bidhaa ya Siku zote
Kula Matunda kama yalivyo usikamue Juice yake
Kula Matunda baada ya kumaliza kula chakula kikuu. Usifanye Matunda kuwa Mlo Mkuu ,Unakula kisinia kizima , Unakula Tikiti zima au Nanasi Zima . Sio Salama kiafya
----------------------------------------------------
Dkt Fedrick, Telehealth Clinician
#afyayauzazi#femclinic_hc#tunajalinakuthaminiafyayako#upati#drfedrickntashobo#clinician#sexualhealth&reproductivehealthcoach#vochadaychallenge