๐—™๐—˜๐— ๐—–๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ๐—– ๐—›๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—ง๐—›๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ฆ๐—˜๐—ฅ๐—ฉ๐—œ๐—–๐—˜, ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”
๐—™๐—˜๐— ๐—–๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ๐—– ๐—›๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—ง๐—›๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ฆ๐—˜๐—ฅ๐—ฉ๐—œ๐—–๐—˜, ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”
June 17, 2025 at 08:45 AM
Ni Kweli Mwili wa Binadamu Unahitaji vitamins na Madini Ambavyo Hupatikana katika Matunda . Lakini Tambua kwamba Matunda Ni Bidhaa ya Msimu usifanye kuwa Bidhaa ya Siku zote Kula Matunda kama yalivyo usikamue Juice yake Kula Matunda baada ya kumaliza kula chakula kikuu. Usifanye Matunda kuwa Mlo Mkuu ,Unakula kisinia kizima , Unakula Tikiti zima au Nanasi Zima . Sio Salama kiafya ---------------------------------------------------- Dkt Fedrick, Telehealth Clinician #afyayauzazi#femclinic_hc#tunajalinakuthaminiafyayako#upati#drfedrickntashobo#clinician#sexualhealth&reproductivehealthcoach#vochadaychallenge

Comments