
Ashraf JK 💚💙
June 3, 2025 at 11:08 AM
Bunge la Tanzania limepitisha kwa kishindo Mapato na Matumizi ya fedha ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2025/26 Shilingi Trilioni 1.6 kwa Fungu namba 52 ikiwepo matumizi ya kawaida Shilingi Bilioni 626.4 na miradi ya maendeleo Bilioni 991.7
