*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 16, 2025 at 06:57 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *🌹🌹JE KAZI YA MWANAMKE NYUMBANI KWAKE ANAPATA THAWABU❓* Darsa namba (1) *السؤال: 69960 هل إذا عملت المرأة في بيتها دون احتساب نية أجر العمل عند الله تؤجر على عملها أم لا يحسب لها ؟.* *✍️Swali: je Ikiwa mwanamke anafanya kazi nyumbani kwake bila kukusudia kupata thawabu kutoka kwa Allah kwa kazi yake, je atalipwa thawabu kwa kazi hiyo au haitahesabiwa chochote kwake?* *الجواب: عمل المرأة في بيتها عمل عظيم تساهم به في نشر المودة والرحمة في بيتها ،* *📝Jawabu: Kazi ya mwanamke nyumbani kwake ni amali kubwa ambayo kwayo huchangia katika kueneza upendo na huruma nyumbani kwake.* *ولها اليد الطولى في المساهمة في تربية أولادها ، وهي مُعينة لزوجها على عمله وعلى دعوته .* *Ana jukumu kubwa katika kulea watoto wake, na kumsaidia mume wake katika kazi yake, na kumuitika anapo muita.* *وهذا العمل – شأنه في ذلك شأن سائر الأعمال – لا تثاب عليها المرأة إلا إذا أخلصت فيه النية لله تعالى .* *Na kazi hii inakuwa ni kazi kama kazi zingine hapati thawabu kwa kuzifanya kwake isipokuwa atakapo itakasa nia yake kwa Allah mtukufu.* *وهذه بعض النصوص المؤيدة لهذا مع نقل طائفة من أقوال أهل العلم :* *Na hizi ni baadhi ya dalili zinazo tia nguvu jambo hili pamoja na kuwanukuu kundi katika wenye elimu* *1. ذكر البخاري رحمه الله تعالى في كتاب الإيمان باباً عدَّد فيه واجبات شرعية ، وذكر فيه احتساب الأجر على فعله .* *Imam Al-Bukhari, Allah amrehemu, ametaja katika Kitabul iman mlango ambao ameorodhesha mambo ya wajibu, na akataja malipo ya kuzifanya."* Itaendelea fatilia darsa ijayo..... ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
🙏 ❤️ 👍 4

Comments