*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 20, 2025 at 07:00 AM
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🌹🌹CHAKULA CHA MUME KWA FAMILIA YAKE NI SWADAQA KAMA ATANUIA SWADAQA* Darsa namba (1) *عن أبي مسعود البدري رضي الله عنه قال :* *Kutoka kwa ibn masu'ud Al-badri Allah amridhie amesema:* *قال النبي صلى الله عليه وسلم :* *📝Amesema mtume (swala na salaam ziwe juu yake):* *إن المسلم إذا أنفق على أهله نفقة يحتسبها كانت له صدقة . رواه البخاري (55) ومسلم (1002) .* *Hakika ya muislam pindi akitoa chakula kwa Ahli yake akatarajia malipo kwa chakula hiko, basi kitahesabiwa kuwa ni swadaka kwake.* (Kaipokea imam bukhary (55) na muslim (1002) *فنفقة الرجل على زوجته وأولاده واجب شرعي ، ولا يثاب عليها إلا إن قصد الاحتساب .* *Matumizi ya mume kwa mkewe na watoto wake ni wajibu wa kisharia, na wala hapati thawabu isipokuwa atakapo tia nia ya kulipwa."* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* https://chat.whatsapp.com/E6Zc5ubeFUg8zisCYsvRxS *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 🌹 2

Comments