
Ajira Tanzania
June 13, 2025 at 12:23 PM
*TANGAZO LA KAZI*
📍 *Sehemu ya kazi: Shinyanga Mjini*
👩 *Anahitajika Mwanamke Kusimamia Lodge*
*SIFA:*
- Umri: Miaka 18-45
- Awe anajua vizuri kuhesabu pesa
- Mshahara: 100,000/= kwa mwezi
- NIDA ni kipaumbele
- Malazi na chumba vinapatikana hapo hapo lodge
- Chakula juu ya Boss
📝 *Tuma video fupi ukijitambulisha kupitia email:*
📧 *[email protected]*