Ajira Tanzania
Ajira Tanzania
June 13, 2025 at 12:23 PM
*TANGAZO LA KAZI* 📍 *Sehemu ya kazi: Shinyanga Mjini* 👩 *Anahitajika Mwanamke Kusimamia Lodge* *SIFA:* - Umri: Miaka 18-45 - Awe anajua vizuri kuhesabu pesa - Mshahara: 100,000/= kwa mwezi - NIDA ni kipaumbele - Malazi na chumba vinapatikana hapo hapo lodge - Chakula juu ya Boss 📝 *Tuma video fupi ukijitambulisha kupitia email:* 📧 *[email protected]*

Comments