Ajira Tanzania
Ajira Tanzania
June 21, 2025 at 08:59 AM
*TANGAZO LA KAZI ⚡* Ninahitaji *Vijana wanne (4)* waliosomea *Umeme* kutoka *VETA* kwa ajili ya kazi. Kama unakidhi vigezo, tafadhali *nitafute WhatsApp kupitia namba: 0743567159.* *Fursa hii ni maalum kwa vijana waliobobea kwenye fani ya umeme. Usikose!*
🙏 1

Comments