AjiraCoach Vijiwe
AjiraCoach Vijiwe
June 16, 2025 at 06:08 AM
*TANGAZO LA KAZI – SHILOH MICROFINANCE CO. LTD* *NAFASI ZILIZO WAZI: AFISA MIKOPO (5)* *MAJUKUMU:* - Kutathmini, kuidhinisha na kufuatilia mikopo - Kutoa ushauri wa kifedha - Kuandaa ripoti na kushiriki kwenye kampeni *SIFA ZA MWOMBAJI:* - Elimu: Kuanzia Form 4 hadi Chuo - Umri: 18–30 (Me/Ke) - Mawasiliano mazuri, kufanya kazi kwa bidii - Ujuzi wa kompyuta na udereva ni faida - Utayari kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania *JINSI YA KUTUMA MAOMBI:* Tuma barua ya maombi + CV kwenda: 📧 [email protected] / [email protected] 📮 S.L.P 467, Singida 📞 0762557946 / 0765184821 *MWISHO:* 22/06/2025 Ofisi: Ginery – Singida Mjini *JIUNGE NA VIJIWE TANZANIA kwa fursa zaidi:* 🔗 https://whatsapp.com/channel/0029VbAeiSi5Ejy0w1SlQ934 #ajiratanzania #afisamikopo #microfinancejobs #shilohmicrofinance #vijiwetanzania #ajirampya

Comments