๐Š๐ˆ๐‹๐ˆ๐Œ๐Ž & ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹ ๐๐˜ ๐’๐‡๐Ž๐Œ๐๐˜
๐Š๐ˆ๐‹๐ˆ๐Œ๐Ž & ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹ ๐๐˜ ๐’๐‡๐Ž๐Œ๐๐˜
June 22, 2025 at 04:35 AM
*๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐’๐–๐€๐‹๐ˆ ๐‹๐„๐“๐” ๐‹๐€ ๐‰๐€๐๐€ ๐“๐”๐‹๐ˆ๐‹๐Ž๐”๐‹๐ˆ๐™๐€* โ–ช๏ธŽUkikutana na wadudu & magonjwa kwenye mimea hatua gani ya kwanza utayochukua? *๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ฉ๐‘ผ ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ฌ* *โ–ช๏ธŽNINACHUNGUZA KWANZA KAMA NI WADUDU GANI AU UGONJWA GANI* *๐Š๐–๐€๐’๐€๐๐€๐๐”* โ–ช๏ธŽTatizo linaweza kuwa mdudu au ugonjwa lakini kila moja lina dawa yake tofauti โ–ช๏ธŽSi kila dawa inaweza kutibu kila tatizo kutumia dawa bila kutambua tatizo huongeza hasara โ–ช๏ธŽKuchunguza kwanza hukupa nafasi ya kuchagua dawa sahihi kwa ufanisi mkubwa *๐Š๐”๐Œ๐๐”๐Š๐€* *โ–ช๏ธŽKAMA NI WADUDU* - Utaona Mashimo kwenye majani? Vidudu wakitembea? Nondo mizizini? N.K - Tumia viuatilifu vya wadudu kulingana na aina dalili *โ–ช๏ธŽKAMA NI MAGONJWA* - Utaona Madoa, kuoza, majani kukunjamana au kusinyaa? N.K - Tumia dawa za fangasi au bakteria kulingana na dalili *โ–ช๏ธŽUKIKOSEA HATUA YA MWANZO* โŒ Utatumia dawa isiyofaa โŒ Utapoteza pesa, muda na mimea โŒ Utaongeza matatizo badala ya kutatua โ–ช๏ธŽAngalia dalili kwa makini kwanza โ–ช๏ธŽUliza wataalamu au piga picha kwenye group la wakulima โ–ช๏ธŽUkishaelewa chanzo, ndio uchague dawa kwa usahihi *๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ* `KABLA HUJATUMIA DAWA YOYOTE NI MUHIMU KUCHUNGUZA ILI KUJUA NI WADUDU GANI AU UGONJWA GANI UNASHAMBULIA MIMEA YAKO` *๐‘ป๐‘ผ๐‘ต๐‘จ๐‘บ๐‘ฏ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘น๐‘ผ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ป๐‘ฌ ๐‘พ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ญ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘พ๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ฉ๐‘ผ ๐‘ป๐‘ผ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ป๐‘จ๐‘ต๐‘ฌ ๐‘ป๐‘ฌ๐‘ต๐‘จ ๐‘พ๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ฐ ๐‘ฐ๐‘ฑ๐‘จ๐’€๐‘ถ ๐‘ฒ๐‘พ๐‘จ ๐‘บ๐‘พ๐‘จ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฎ๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฌ* *๐Ÿช“๐ŸŒฑ๐“๐”๐Œ๐€๐ˆ๐๐ˆ ๐‹๐ˆ๐Š๐Ž ๐’๐‡๐€๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐ŸŒพ๐Ÿšœ* > *๐‘บ๐’‰๐’๐’Ž๐’ƒ๐’š๐‘ฐ๐’๐’—๐’†๐’”๐’•๐’Ž๐’†๐’๐’•*

Comments