Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

350.5K subscribers

Verified Channel
Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania
June 21, 2025 at 07:59 AM
*HONGERA MHASHAMU JOHN NDIMBO KWA MIAKA 36 YA DARAJA TAKATIFU YA UPADRE* Leo Juni 21, 2025 Mhashamu John Chrysostom Ndimbo, Askofu wa Jimbo Katoliki Mbinga , anamshukuru Mungu kwa zawadi ya miaka 36 tangu alipowekwa Wakfu katika Daraja Takatifu ya Upadre. Familia ya Radio Maria Tanzania inakutakia heri sana Mhashamu John Ndimbo ni hakika umefanyika baraka kwa Taifa la Mungu, nasi tunakuombea heri katika maisha yako. Mama Maria azidi kukuongoza www.radiomaria.co.tz #mahujajikatikamatumaini #sautiyakikristonyumbanimwako #mamawamatumaini #mariathon2025
Image from Radio Maria Tanzania: *HONGERA MHASHAMU JOHN NDIMBO KWA MIAKA 36 YA DARAJA TAKATIFU YA UPADR...
🙏 ❤️ 👍 28

Comments