
Radio Maria Tanzania
June 21, 2025 at 05:08 PM
Tazama wanandoa wenye miaka 50, ambapo Juni 20, 2025 waliadhimisha Jubilei ya Dhahabu, ya Ndoa Takatifu ya Bwana Alex Mutagombwa na Bi. Georgia Kokulamuka, Wazazi wa Padre Almachius Mwemezi wa Jimbo Katoliki Rulenge Ngara.
.
.
Picha na Goreth Lwamuzigu - Bukoba
www.radiombiu.co.tz
#radiomariatanzania
#mahujajikatikamatumaini
#mariathon2025mamawamatumaini

🙏
❤️
❤
👍
🎉
👏
😊
😮
🥳
60